KAGERA SUGAR: MSIMU UJAO TUTATISHA
KOCHA wa kikosi cha Kagera Sugar, Meky Maxime amesema kuwa kwa sasa wamejipanga kufanya usajili makini utakaowafanya walete ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara.Msimu...
DILI LA AFRIKA KUSINI LAWA GUMU KWA DIDA WA SIMBA
DEOGRATIUS Munish ambaye ameachana na Simba baada ya kumaliza kandarasi yake ya mwaka mmoja amesema kuwa kwa sasa bado hajajua ni timu gani ataichezea...
MZEE AKILIMALI AMCHANA AJIBU, AMUITA KIRUSI
BAADA ya juzi Jumatano, Simba kumtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji wao mpya, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali ameibuka na kufunguka...
MUVI YA SIMBA NA OKWI YAJA NA JINGINE JIPYA
Habari za ndani zinasema kwamba Kaizer Chiefs ina asilimia 85 za kumnasa Emmanuel Okwi, lakini Simba wamecharuka na kujipanga kivingine. Simba imeapa kwamba hata...
AJIBU KUFURU SIMBA, KULIPWA TSH.MIL 1,250,000 KWA WIKI
Lanchi ya juzi haikuwa na raha kwa mashabiki wa Yanga, baada ya Simba kumtambulisha rasmi Ibrahim Ajibu kwamba amerejea Msimbazi.Simba imemfanyia kufuru nahodha huyo...
JESHI LA SIMBA KUTUA KWA MANDELA
Kocha wa Simba, Patrick Aussems anatua nchini wiki ijayo na timu inakwenda kambini nchini Afrika Kusini.Habari za uhakika zinasema kwamba, Simba ilikuwa na mpango...
KAHATA WA SIMBA AMECHEMSHA
Kocha wa Kenya, Sebastian Migne amekiri kwamba staa mpya wa Simba, Francis Kahata hakuwa na bahati kwenye Afcon ya msimu huu.Migne amekiri kwamba hata...
ZAHERA ASHINDWE MWENYEWE TU
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa kwa asilimia 90 umefanikiwa kukamilisha usajili aliokuwa akiutaka Kocha Mwinyi Zahera baada ya kusajiliwa wachezaji aliowapendekeza.Aidha, kabla...
AJIBU AKATAA JEZI SIMBA
AJIBU ameliamsha Msimbazi baada ya kugomea kukabidhiwa jezi namba 23.Namba hiyo 23 ilikuwa inavaliwa na kiungo huyo mtaalam wa assisti, awali akiwa anaichezea Simba...
YANGA WAMTAJA MBADALA WA GADIEL MICHAEL
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna papara na mchezaji wa kikosi hicho Gadiel Michael ambaye amegoma kusaini ndani ya klabu hiyo.Mwenyekiti wa...