MBEYA CITY KUFUNGUA KAZI NA TANZANIA PRISONS
JUMA Mwambusi, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa kazi kubwa wanayo msimu ujao kwa kuwa hesabu zao ni kufanya vema.Mwambusi amesema kikosi kipo...
SERIKALI YA ZANZIBAR YAIPA TANO YANGA
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi ameunga mkono mfumo wa Klabu Maarufu ya Mchezo wa soka ya Yanga kuanzisha miradi...
MBELGIJI AKUBALI UWEZO WA WACHEZAJI WAKE
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa uwezo wa wachezaji wa Simba unaongezeka kila siku hivyo anaamini wataleta ushindani msimu ujao.Simba imeweka kambi...
HIVI NDIVYO CAF WALIVYOTIBUA MIPANGO YA SIMBA
CRESCENTIUS Magori, Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba amesema kuwa ratiba ya michuano ya kimataifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf) imesababisha...
SIMBA WABEBA IMANI KUBWA KWA MASHABIKI
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa hawana hofu na mchezo wao watakaocheza jumanne siku ya Simba day mashabiki wa Simba wanajua wanachokitaka.Agosti...
CAF YATEUA WAAMUZI SITA WA ONGO KUCHEZESHA MECHI ZA LIGI YA MABINGWA NA SHIRIKISHO
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeteua Waamuzi Wanne (4) na Makamishna Wawili(2) kutoka Tanzania kusimamia mechi za Ligi ya Mabingwa na Kombe...
RATIBA YA SPORTPESA SIMBA WIKI IPO NAMNA HII
AGOSTI 6 kwa kuchezwa mechi ya kirafiki baina ya Wekundu hao dhidi ya Power Dynamo kutoka Zambia.Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Crescentius Magori amesema...
AZAM FC: TUPO TAYARI KWA LIGI MSIMU UJAO
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kwa ushindani kwa ajili ya msimu ujao unaotarajiwa kuanza Agosti 23.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari...
WATU WAENDELEA KUCHOTA MKWANJA NDANI YA SPORTPEA, CHALII AONDOKA NA MILIONI 6 NA USHEE
Mkazi wa Arusha, Bw. Gidion Siuhi Irumba akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi 6,233,934 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya 13 kwenye Jackpot ya wiki...
DUH! SIMBA YAIPIGA DOGO LA KIAINA YANGA WAZIWAZI
HAJI Manara ni kama amewatupia dongo wapinzani wake Yanga kiaina kutokana na kauli yake kwamba wengi wamewaiga siku ya Simba day na wameiga kwa...












