HII HAPA MASHINE MPYA YA KAZI YANGA MSIMU UJAO…AFUNGUKA A-Z KUHUSU ENG HERSI ….
EBU vuta picha msimu ujao katika safu ya ushambuliaji ya Yanga yenye Prince Dube na Clement Mzize wenye jumla ya mabao 20 akiongezeka Jonathan...
KWA HILI LA JOSHUA MUTALE HUKO SIMBA …..HAYA YATARAJIWE WAKATI WOWOTE ULE….
MAISHA yanakwenda kwa kasi na mambo yanabadilika kila wakati leo hii stori ya kiungo mshambuliaji wa Simba, Joshua Mutale imezima ghafla.
Wakati anasajiliwa msimu huu...
PIGA MKWANJA NA EARLY PAYOUT KUPITIA EPL LEO…..
Una nafasi kubwa ya kunyakua mkwanja leo kupitia chaguo la Early payout usiku wa leo kwani itakwenda kupigwa michezo mbalimbali ya ligi kuu ya...
BAADA YA KUMALIZANA NA MOBETTO…HILI HAPA JIPYA LA AZIZI KI HUKO YANGA 👌👌…
SAHAU ishu ya ndoa yake na Hamisa Mobetto. Achana na kitendo cha kusamehe fungate la ndoa na kukipiga katika mechi za Ligi Kuu kama...
ODDS ZA USHINDI HIZI HAPA PATA KIBUNDA MAPEMA LEO NDANI YA MERIDIANBET…..
Mechi kali za EPL leo hii zinaendelea ambapo nafasi ya wewe kuibuka bingwa ikiwa ni kubwa kwani odds za kibabe zipo Meridianbet. Tengeneza jamv...
ZIDANE KINDA LA AZAM ALIYEIKATILI SIMBA DK ZA JIONIIIII….STORI YAKE KAMILI HII HAPA…
Zidane Sereri @zidane_723, kijana mdogo mwenye kiu ya mafanikio ya kisoka, ameendelea kuthibitisha thamani yake ndani ya kikosi cha Azam FC. Katika mchezo mgumu...
KISA SARE NA AZAM JANA….SIMBA WAVUNJA UKIMYA TAMKO LAO HILI HAPA…
BAADA ya Februari 24 2025 ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 2-2 Azam FC mabosi hao wakigawana pointi mojamoja na matajiri wa Dar,...
WAKATI SIMBA WAKIPOTEANA JANA….YANGA WALIA NA HUJUMA….KAMWE AMATAJA ADUI YAO…
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeweka wazi kwa kusema kwamba wanaushindani mkubwa na maadui wakubwa kitakachowanusuru ni umoja, mshikamano na mapambano ya dhati kutoka...
MZEE KAMWE AFUNGUA A-Z ANAVYOTELEZA NA USTAA WA MWANAE KIMAISHA….
BABA wa Msemaji wa Yanga, Shaban Kamwe, amesema umaarufu wa mwanawe, Ali Kamwe, umemletea manufaa mbalimbali katika maisha yake.
Mzee Kamwe aliyasema hayo wakati akizungumzia...
MTZ ALIYESAJILIWA WYDAD AANZA NA ‘GUU LA KAZI’….MWAMUZI AKATAA ‘MGOLI WAKE WA KIDEO’…
MSHAMBULIAJI wa Kitanzania anayekipig Wydad AC ya Morocco, Seleman Mwalimu 'Gomez' ameanza mechi ya kwanza akiwa na uzi wa timu hiyo iliyotoka suluhu na...