MASHABIKI WA YANGA KIGALI WAPATA ZALI HILI
Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amewanunulia tiketi mashabiki waliojitokeza kwenye safari ya Rwanda ambayo inawakutanisha dhidi ya Al Merrikh hapo kesho Septemba…
Rais wa Klabu ya Yanga, Eng. Hersi Said amewanunulia tiketi mashabiki waliojitokeza kwenye safari ya Rwanda ambayo inawakutanisha dhidi ya Al Merrikh hapo kesho Septemba…
Wakati kikosi cha Simba SC kikiwa katika maandalizi ya mwisho ya mchezo wa kuwania kutinga Hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya…
Rais wa Yanga SC, Hersi Said @caamil_88 na baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya timu hiyo wametoa msaada kwa waathirika wa mafuriko Magharibi…
Kikosi cha Simba kimeondoka nchini asubuhi ya jana Alhamisi kwenda Zambia kwa ajili ya pambano la kwanza la raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa…
Uwanja wa michezo wa Levy Mwanawasa ni Uwanja wa michezo uliopo katika mji wa Ndola nchini Zambia, uwanja huu hutumika sana kwa ajili ya mchezo…
Kiungo mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Maxi Ngzengeli amesema kuwa hesabu zao ni kushinda ugenini dhidi ya Al-Merrikh ya Sudan ugenini nchini Rwanda kabla hawajacheza…
Mshambuliaji wa Klabu ya Simba, Moses Phiri amesema malengo yao ni kushinda mchezo wa Jumamosi dhidi ya Power Dynamos ya nyumbani kwao Zambia Phiri ambaye…
Kikosi cha wachezaji na Benchi la Ufundi la Simba Sc Wamewasili Salama nchini Zambia tayari Kwaajili ya Mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika Mzunguko wa…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Simba SC leo Septemba 14, 2023 wamekwea ‘pipa’ kuelekea nchini Zambia kwa ajili ya kwenda kuanza rasmi safari yao kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika…