Latest Posts

Goli la Mayele

HATIM AWASHAURI JAMBO HILI YANGA UPANDE WA KOCHA

Mchambuzi wa soka, Haatim Abdul amesema Yanga SC wanahitaji mwalimu wa wafungaji kwani wanapata nafasi nyingi lakini wanashindwa kuzitumia. Amesema, Yanga wanatakiwa kumtafuta mwalimu anayeweza…