Tag: Simba SC
REKODI ZA GAMONDI YANGA…HANA MPINZANI
Mashabiki wa Yanga wameiona timu yao katika mechi tatu zilizopita za kimashidano tangu kuanza kwa msimu huu wa 2024-2025 ambazo zote wameshinda wakianza na...
AUBIN KRAMO ATUA LIBYA…WAARABU WANAMUITA
Aliyekuwa winga wa Simba, Aubin Kramo amejiunga na klabu ya Olimpique Zouia inayoshiriki Ligi Kuu Libya kwa mkataba wa mwaka mmoja, Mwanaspoti limethibitisha.
Usajili huo...
HAJI MANARA AONDOSHWA YANGA…ALI KAMWE NI BOSI
Rais wa Yanga SC, Eng. Hersi Said amesema Ally Kamwe ndiye Afisa Habari wa Yanga SC, na Haji Manara ni mwanachama ambaye anatafutiwa nafasi...
AHMED ALLY…SIMBA INASHINDA LAKINI RAHA HAKUNA
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa wanashinda lakini hawana furaha kwa kuwa bado wanatengeneza timu hiyo.
Mchezo wa...
SIMBA PUNGUZENI PRESHA…MSIMU HUU TIMU MNAYO
MNYAMA SIMBA amecheza mechi tatu tu za mashindano msimu huu ambazo mbili ni za Ngao ya Jamii ilizokutana na Yanga na Coastal Union na...
UKUTA WA SIMBA UNA DENI KUBWA MSIMU HUU
Wakati wakianza mechi ya kwanza ya ligi kuu msimu huu bila kuruhusu bao dhidi ya Tabora United, mabeki na makipa wa Simba wana kibarua...
SIMBA YAFUNGUKA INSHU YA FREDDY FUNGAFUNGA
UONGOZI wa Simba uko katika hatua za mwisho za kuachana na mshambuliaji, Freddy Michael Koubalan baada ya kuitumikia kwa miezi sita akitokea Green Eagles...
MUKWALA AKIRI KUWA NA DENI KUBWA SIMBA
Mshambuliaji mpya wa Simba, Mganda Steven Mukwala hajawapa furaha Wanamsimbazi, lakini mwenyewe amekiri sasa anauona ukubwa na thamani ya kikosi hicho baada ya kuanza...
UGONJWA UNAOITESA SIMBA YA FADLU….WAPATIWA DAWA
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuna ugumu kwenye kutengeneza nafasi za wazi katika mechi za ushindani jambo linalowafanya kutumia mbinu nyingine kusaka ushindi.
Kwenye...
SIMBA YAANZA KIJIANDAA MAPEMA CAF…WAPINZANI MTEGONI
MNYAMA Simba ameanza mambo yake mapema ya kuwafuatilia wapinzani wake katika hatua ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo kwa asilimia kubwa wanakwenda...