ROBERTINHO AFUNGUKA HAYA KUHUSU LUIS MIQUISSONE
Kocha Robertinho amesema amefurahishwa na kitendo cha winga Luis Miquissone kupungua uzito, akisema kurejea kwake kwenye kiwango na wepesi kutaiongezea kitu kizito timu yake huku…
Kocha Robertinho amesema amefurahishwa na kitendo cha winga Luis Miquissone kupungua uzito, akisema kurejea kwake kwenye kiwango na wepesi kutaiongezea kitu kizito timu yake huku…
Meneja Mkuu wa kikosi cha Simba SC, Mikael Igendia ni sehemu ya Benchi la ufundi la kikosi cha Taifa Stars kilichoko kambini nchini Tunisia kinachojiandaa…
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF), Jumamosi lilichezesha droo ya michuano ya African Football League ambapo wawakilishi wa Tanzania, Simba wanatarajiwa kupambana na Al Ahly, huku…
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
Ratiba ya michuano hiyo imepangwa Septemba 2, 2023 ambapo Simba inatarajiwa kuanza kwa kuikaribisha Al Ahly ya Misri, mchezo wa kwanza ukitarajiwa kuchezwa Oktoba 20,…
Beki kisiki wa Simba, Henock Inonga ameshusha presha ya vigogo na mashabiki wa timu hiyo baada ya kupona majeraha na kuungana moja kwa moja na…
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba SC, Salim Abdallah Try Again’ ametamba sababu ya ufunguzi wa michuano ya Ligi ya Afrika unafanyika Tanzania kwa…
Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa muda uliopo kwa sasa ni benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Roberto Oliveira kusuka silaha za maangamizi kwenye…
Mganga Manyau nyau amefunguka yeye ni shabiki wa Simba SC amesema timu yake msimu huu itabeba vikombe vyote sababu kwenye kamati ya ufundi kwa sasa…
Ligi Kuu ya NBC kwa sasa imesimama kupisha ratiba ya michuano ya CAF kwa timu za taifa kufuzu fainali za AFCON 2023. Hawa ni wachezaji…