Habari za michezo
Habari za michezo

MANYAUNYAU AFICHUA SIRI YA SIMBA KUMFUNGA YANGA

Staff Desk September 2, 2023 10:48 am

Mganga Manyau nyau amefunguka yeye ni shabiki wa Simba SC amesema timu yake msimu huu itabeba vikombe vyote sababu kwenye kamati ya ufundi kwa sasa kazi anafanya mwenyewe.

Ametoboa Siri katika mchezo wa fainali ya Ngao ya jamii dhidi ya Yanga SC kule Mkwakwani jijini Tanga Alituma Joka Kubwa anaitwa jabali ambaye alikuwa anapaisha magoli ya wachezaji wa Yanga na timu yake kufanikiwa kutwaa Ngao ya jamii.

Katika mchezo huo qa Fainali ya Ngao ya uliopigwa Agosti 13, 2023 ulinalizik dakika 90 kwa timu zote mbili kutoka sare ya bila kufungana ndipo wakalazimika kwenda kwenye changamoto ya mikwaju ya penati ambapo Simba ilishinda kwa penati 3-1.

HAWA HAPA MASTAA WALIOITWA TIMU ZA TAIFA, SIMBA, YANGA SIMBA HII YAKIMATAIFA ROBERTINHO AIFUA UPYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply