YANGA WAFUNGUKA KUHUSU SKUDU, NI JAMBO LA MUDA TU
Yanga SC wamesema Mahlatse Makudubela Manoka ‘Skudu’ yupo na muda ukifika wa kucheza basi Wanayanga watamuona uwanjani akiitumikia klabu yake. Akizungumza na Wasafi FM, Afisa…
Yanga SC wamesema Mahlatse Makudubela Manoka ‘Skudu’ yupo na muda ukifika wa kucheza basi Wanayanga watamuona uwanjani akiitumikia klabu yake. Akizungumza na Wasafi FM, Afisa…
Winga wa Yanga Skudu Makudubela ameamua kupita njia za kiungo wa Yanga raia wa Congo Maxi Mpia Nzengeli. Skudu ameonekana jana katika mazoezi ya Yanga…
Winga wa Klabu ya Yanga, Skudu Makudubela amerea nchini Tanzania akitokea kwao Afrika Kusini alikokuwa amekwenda kwa ajili ya matibabu baada ya kuumia kwenye mchezo…
Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa winga wake Mahlatse Makudubela ‘Skudu’ ameondoka nchini jana kurudi kwao Afrika Kusini kwa ajili ya kushughulikia zoezi la kupata hati…
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema anaamini usajili uliofanywa na timu hiyo, unatosha kabisa kutetea makombe yote ya ndani katika msimu ujao wa…
YANGA imerudi kambini Avic Town kujiandaa na mechi za Ngao ya Jamii, zitakazopigwa kuanzia Agosti 9, huku kocha mkuu wa timu, Miguel Gamondi akiomba mechi…
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Afrika Kusini aliyesajiliwa na Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Mahlatse Makudebela ‘Skudu’, amesema anataka kuwaona Simba SC ili afahamu…
KAMA ulipanga kukosa kesho kwenye kilele cha wiki ya wananchi pale Uwanja wa Benjamin Mkapa. Badili akili yako,huo moto ulioko huko mazoezini siyo wakuukosa. Mastaa…
Nyota mpya wa Yanga,Mahlatse Makudubela’Skudu’ amesema hakuchagua kutumia jezi namba sita bali alichaguliwa. Skudu amezungumza hayo leo muda mfupi kwenye mkutano na waandishi wa habari…