yanga leo
Habari za michezo

SKUDU KAMA NZEGELI SASA, MAMBO YAPO HIVI

Staff Desk September 8, 2023 6:56 am

Winga wa Yanga Skudu Makudubela ameamua kupita njia za kiungo wa Yanga raia wa Congo Maxi Mpia Nzengeli.

Skudu ameonekana jana katika mazoezi ya Yanga akichomekea kama Nzengeli ambae amekuwa maarufu kwa Mashabiki wa kandanda nchini kwa style yake hiyo.

Yanga wanaendelea na mazoezi wakijiandaa na mchezo wao wa kwanza wa Raundi ya mwisho ya mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya El Merreikh ya Sudan Septemba 16, mwaka huu Uwanja wa Pele Jijini Kigali nchini Rwanda.

SKUDU APEWA AL MAREKH, GAMONDI AANDAA SAPRAIZI KIGALI…… ROBERTINHO AANZA NA KIUNGO TIZI LA YANGA SIO POA KAMA ULAYA UNAAMBIWA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply