KAZE ATUA BONGO, KUANZA MAJUKUMU YANGA

0
 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga amewasili Kwenye ardhi ya Bongo usiku wa kuamkia leo kwa ajili ya kuanza majukumu mapya ndani...

MWAKINYO KUZICHAPA NA MUARGENTINA KUTETEA MKANDA WA IBA

0
 BONDIA bingwa wa mabara wa uzito wa superwelter, Hassan Mwakinyo atautetea mkanda wake wa Chama cha WBF Novemba 13 dhidi ya bondia wa Argentina...

SIMBA WAPEWA ONYO KISA WINGA MPYA WA YANGA

0
 MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ameibuka na kusema kuwa kitendo cha uongozi wa Yanga kumsajili mshambuliaji, Saidi Ntibazonkiza wamefanya jambo sahihi. Yanga...

PRINCE DUBE WA AZAM AINGIA ANGA ZA SIMBA NA CASABLANCA

0
IMEELEZWA kuwa nyota wa Klabu ya Azam FC, Prince Dube ameingia kwenye anga za Klabu ya Raja Casablanca ambayo inahitaji kuinasa saini yake.Casablanca inapigana...

KUPOTEZA KWA KUCHAPWA NA BURUNDI NYUMBANI IWE SOMO KWA STARS

0
 WIKIENDI iliyopita, ulipigwa mchezo wa kimataifa wa kirafi ki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa mwenyeji wa Timu ya...

KAZE APANIA MAKUBWA NDANI YA YANGA

0
KOCHA mpya wa Yanga Mrundi, Cedric Kaze, amewatumia ujumbe mkubwa mashabiki wa timu hiyo akiwaambia kwa pamoja watafanya makubwa.Kauli hiyo aliitoa kocha huyo akiwa...

CHAMA AFUNGUKIA ISHU YA MKATABA WAKE SIMBA KISA YANGA

0
 KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameibuka na kufunguka hatma yake ya kujiunga na Yanga huku akielezea mipango yake ya kubaki kucheza Msimbazi. Hiyo...

TUIPE SAPOTI STARS, MZUNGUKO WA SITA UTUZINDUE KIUSHINDANI

0
 WAKATI mizunguko mitano ya Ligi Kuu Bara (VPL) ikiwa imeshamalizika kwa sasa mzunguko wa sita unarejea ni wakati wa timu kuendelea kupambana kwa ajili...

KOCHA WA YANGA KUTUA LEO BONGO

0
 KOCHA Cedric Kaze anayekuja kushika mikoba ya kuifundisha Yanga, yupo safarini kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kuanza rasmi majukumu yake mapya.Ofisa Habari wa...

POGBA MWILI UPO MANCHESTER UNITED ROHO REAL MADRID

0
 PAUL Pogba ametoa kauli ambayo inamaanisha au inaonyesha kuwa anaweza kuondoka ndani ya Manchester United, hiyo ni baada ya kusema kuwa anatamani kuichezea Real...