ARSENAL WASHINDA KIBABE MBELE YA BURNLEY, YAJIPIGIA VIDUDE VIWILI

0
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Pierre Aubameyang amesema kuwa anajiskia furaha kwa timu yake kushinda leo mbele ya Burnley mchezo wa pili wa Ligi Kuu England...

KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA AZAM FC HIKI HAPA, NI MOTO BALAA

0
Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Azam FC, mchezo wa Ngao ya Jamii1. Beno Kakolanya 2. Shomary Kapombe 3. Gadiel Michael4. Erasto Nyoni5. Pascal Wawa 6. Jonas...

HILI HAPA JESHI KAMILI LA AZAM FC LEO DHIDI YA SIMBA

0
JESHI la Azam FC leo dhidi ya Simba mchezo wa ngao ya Jamii uwanja wa Taifa

ZAHERA AANZA NYODO YANGA

0
Wakati huohuo, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera ameahidi kuwa na msimu mzuri huku akitamba kuchukua kila kombe watakalolishindania likiwemo la Ligi Kuu Bara.Ametoa...

KAMPUNI YA SIMU, CHAKULA KUMWAGA FEDHA YANGA

0
BAADA ya msoto wa muda mrefu wa kutawaliwa na hali ngumu ya kifedha hasa msimu uliopita, mambo mazuri yanaendelea kutokea ndani ya Klabu ya...

VODACOM WAREJEA LIGI KUU BARA KWA MASHARTI

0
Imeelezwa kuwa Kampuni ya Mawasiliano ya Vodacom imekubali kudhamini tena Ligi Kuu Bara kwa msimu ujao.Vodacom ambao awali walijiondoa baada ya kutokuwa na maelewano...

MBRAZIL ALIYEKIPIGA NA NEYMAR JR, COUTINHO AMAPA TANO MBELGIJI WA SIMBA

0
BEKI mpya wa Simba, raia wa Brazil, Gerson Vieira Fraga, amemtaja kocha mkuu wa kikosi hicho, Patrick Aussems, kuwa ni wa kipekee.Vieira amewahi kuwa...

LUKAKU BANA AIPIGA DONGO TIMU YAKE YA ZAMANI MANCHESTER UNITED

0
ROMELU Lukaku, mshambuliaji mpya wa kikosi cha Inter Milan ametupa dongo kimtindo kwa timu yake ya zamani ya Manchester United alipokuwa akitoa mlinganisho wa...

POLISI TANZANIA YACHEKELEA KUINYOOSHA YANGA

0
DITRAM Nchimbi, mchezaji wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindi wao mbele ya Yanga ni mwanzo mzuri kwa kikosi hicho kuelekea kwenye msimu mpya unaotarajiwa...