NI kama vile mabosi wa Simba sasa wameamua kujibu kwa vitendo baada ya kuwepo kwa kelele nyingi mtandaoni juu ya kushindwa kufanya usajili na badala yake kutoa 'thank you' tu kwa waliokuwa nyota wa timu hiyo, kwa kumshusha beki...
NDOTO ya mshambuliaji wa Simba SC na Taifa Stars, Kibu Dennis kucheza soka la kulipwa Marekani inakaribia kutimia baada ya klabu ya Nashville kumwongezea wiki ya majaribio kutokana na kile kinachoelezwa ni kivutio kwa makocha wa kikosi hicho.
Kwa mujibu...
WAKATI Azam FC ikimpigia hesabu aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga, Clatous Chama ikiwa ni pendekezo pia la kocha wa timu hiyo, Florent Ibenge, kikosi hicho kinakabiliwa na ushindani kutoka kwa Zesco United ya Zambia inayomuhitaji.
Nyota huyo aliyezichezea timu mbalimbali...
YANGA inaendelea na marekebisho kadhaa ya kiufundi kwenye kikosi chake kuelekea kwenye maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu Bara na michuano ya kimataifa.
Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mara nne mfululizo, inaripotiwa kwamba wataweka kambi ya maandalizi nchini...
MASHABIKI wa Simba bado wamepigwa na butwaa baada ya kuona sehemu ya mastaa waliosajiliwa msimu uliopita na kuiwezesha timu kufika fainali ya Kombe la Shirikisho wakipewa 'Thank You', lakini kocha mkuu wa timu hiyo, Fadlu Davids ametoa kauli moja...
Je unajua kuwa leo ni siku ya kubadilisha mkeka kuwa mkwanja?. Timu kibao leo zitashuka dimbani kusaka nafasi ya kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa msimu ujao huku hii ikiwa ndio mechi ya kwanza. Nani na nani kuanza vizuri?. Tandika...
Wakati kila mtu anazungumzia kuhusu ubunifu na mageuzi kwenye michezo ya kubashiri, Meridianbet imeamua kuonesha mfano. Kupitia huduma mpya inayojulikana kama Early Payout, sasa unaweza kushinda beti yako kabla hata mpira haujamalizika. Ndio, unavyosoma ndivyo ilivyo.
Ni mara ngapi umeweka...
MABOSI wa Yanga wamebadilisha gia angani mara baada ya kumpa ajira kocha mpya Romain Folz atakayetambulishwa wiki hii, ambaye ametaka mastaa wa timu hiyo wakiwamo wapya kina Mousa Conte, Mohamed Doumbia na Celestin Ecua kambini Misri kwa kazi maalumu.
Inadaiwa...
LICHA ya kuhusishwa kukaribia kujiunga na Yanga, aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Gibril Sillah ameitosa ofa ya timu hiyo na kwa sasa inadaiwa amemalizana na matajiri wa Algeria, ES Setif FC na kusaini mkataba wa miaka miwili.
Nyota huyo...
WAKATI Simba ikiendelea kutangaza orodha ya wachezaji watakaokuwa nje ya hesabu za timu hiyo kwa msimu ujao wakiwapa 'Thank You', kuna msaidizi mmoja wa kocha Fadlu Davids amejiondoa ghafla.
Aliyetangaza kujiondoa ni mtaalam wa takwimu za wachezaji, Culvin Mavunga aliyetangaza...