ILE vita ya kuwania kiungo Moussa Bala Conte kutoka Guinea, imeisha baada ya Yanga kumtambulisha rasmi juzi mchana ikiizidi kete Simba iliyoanza mapema kumtamani mchezaji huyo. Iko hivi. Simba ndio walikuwa wa kwanza kumshawishi kiungo huyo wa CS Sfaxien ya...
SIMBA ina hesabu kali ya kufumua eneo la kipa na unaweza kusema hakuna aliye salama, mezani kwa mabosi wa klabu hiyo kuna majina ya makipa wawili wanasubiri maamuzi tu, ili kuchukua nafasi ya Moussa Camara, iwapo wataamua kumpiga chini. ‎Camara...
KIKOSI cha Simba kinaendelea kupiga hesabu ya kuingiza mashine mpya na kuzitema zile ambazo hazina mipango nayo kwa msimu ujao, lakini kuna kiungo mshambuliaji mmoja kutoka DR Congo ambaye faili lake limetua mezani mwa kocha Fadlu Davids. Kocha huyo aliyepo...
Je msimu huu unaotaka kuanza unadhani nani anaweza kushinda taji la Ligi kuu ya Uingereza yaani EPL?. Meridianbet imekuwekea tayari ODDS na timu ambazo zinaweza kuwa bingwa. Ingia na uweke na jamvi lako hapa. Mabingwa wa Kombe la Dunia la...
Kama wewe ni shabiki wa michezo ya kasino mtandaoni, basi habari hii ni ya kukufurahisha kuliko zote. Meridianbet wamezindua rasmi mtoa huduma mpya wa michezo ya slot, Slotopia, na ni wazi kabisa kwamba huu ni mwanzo wa burudani mpya...
YANGA imebakiza hatua ya kumtambulisha tu kocha wake mpya atakayekuja kubeba safari ya kusaka mafanikio zaidi ya mabingwa hao wa soka nchini. Licha ya kwamba uongozi wa klabu hiyo haujatangaza, lakini taarifa za uhakika nazo ni kwamba kocha anayekuja ni...
VURUGU walizoanza nazo mabingwa wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara, Yanga katika kutangaza majembe mapya, zimeanza kushtua. Hiyo ni baada ya kumtambulisha kiungo Moussa Balla Conte, raia wa Guinea ambaye pia watani wao wa jadi, Simba walikuwa wakimpigia hesabu kali. Kabla...
BEKI wa Simba, Mohammed Hussein 'Tshabalala' sio tu kumaliza mkataba wake kikosini hapo, pia ameiaga rasmi akionyesha hataendelea na Wekundu hao, huku watani zao wa jadi, Yanga wakitajwa kumalizana naye. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Tshabalala ambaye alikuwa nahodha wa...
LICHA ya nguvu ya ziada iliyotumiwa na mabosi wa Simba kumshawishi beki na nahodha aliyemaliza mkataba wake ndani ya kikosi hicho, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ kumshawishi abaki, lakini imeshindikana kufuatia mwenyewe kuaga jioni ya jana Julai 19, 2025. Baada ya uwepo...
Kampuni ya Puma Energy Tanzania leo imezindua rasmi kampeni kabambe ya miezi mitatu inayoitwa “Safari ya Uhakika na Oil za Puma”, ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa kampeni yao ya kitaifa ya “Twende Tanzania”. Kampeni hii inalenga kuhamasisha matumizi...