Uncategorized

SERGIO RAMOS AOMBA KUTIMKIA CHINA

admin May 31, 2019 7:44 am

SERGIO Ramos ambaye ni nahodha wa kikosi cha Real Madrid amecheza jumla ya michezo 606 akiwa ndani ya kikosi hicho tangu ajiunge kwenye kikosi hicho msimu wa mwaka 2005/06 na sasa ameomba kusepa kikosini hapo.


Ramos amewaeleza viongozi wa kikosi hicho kuwa amepata dili la maana kwenye moja ya timu nchini China hivyo hamna namna ya yeye kubaki kikosini hapo.

Imeelezwa kuwa amefikia uamuzi huo kutokana na kutoelewana na Rais wa klabu hiyo Florentino Perez kutokana na lawama anazotupiwa kwamba anahusika kwenye kuboroga kwa kikosi hicho.
MEDDIE KAGERE AFICHUA SIRI YA MAFANIKIO HAWA HAPA WALIOTWAA TUZO ZA MO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply