Uncategorized

SALAMBA AAMUA KUFUNGUKA, ATOA MSIMAMO WAKE SIMBA

admin June 4, 2019 9:09 pm


Mshambuliaji wa Simba, Adam Salamba atabakia klabuni hapo kwa msimu ujao endapo kocha wake Patrick Aussems atamhitaji. Ingawa kwa hali ilivyo ni asilimia ndogo.

Salamba amekuwa akitajwa kuwa moja ya wachezaji ambao wanawezwa kuachwa.

Salamba amesema kuwa kusalia ama kutosalia ndani ya Simba msimu ujao hilo litabakia kwa Kocha wake.

“Hilo la kubakia ndani ya timu kwa msimu ujao ni masuala ya mwalimu siyo mimi.

“Akitaka nitaendelea kubakia hapa na kama akiamua nisiendelee basi nitajua la kufanya.”

Wakimataifa ni wanne msimu wa 2019/2020 MAVUGO NA YANGA MAMBO SAAAAAFII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply