Uncategorized

SIMBA WASAJILI MSHAMBULIAJI MBRAZIL, KUWAONGEZEA NGUVU KAGERE, BOCCO

admin June 21, 2019 10:40 am

Mabingwa wa soka Tanzania, Simba wameongeza nguvu katika safu yao ya ushambulizi baada ya kumsajili, Wilker Henrique da Silva kutoka nchini Brazil.
Wilker amejiunga na mabingwa hao akitokea nchini Brazil.

Uongozi wa Simba umesema umesaini mkataba wa miaka miwili na mshambuliaji huyo.
Maana yake Mbrazil huyo anaungana na John Bocco, Meddy Kagere na wengine kuimarisha safu ya ushambulizi ya mabingwa hao.
Simba imepania kufanya vizuri Afrika na kuiska mbali zaidi katika ligi ya mabingwa.
Msimu uliopita, Simba ilifika katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kuifanya Tanzania kuongeza timu mbili za michuano ya Caf, upande wa klabu.
HAKIKA SIMBA WAMEAMUA, SABA WA KIGENI KUPIGWA CHINI NA WAPYA KUSAJILIWA SIMBA YATOA DOZI JIJINI MWANZA, YAITANDIKA GWAMBINA 4-2

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply