Uncategorized

HATMA YA AJIBU KUJIUNGA NA SIMBA HII HAPA

admin June 30, 2019 7:20 am

MENEJA wa nyota wa Yanga, Ibrahim Ajibu, Athuman Ajibu amesema kuwa kwa sasa suala la timu atakayojiunga mteja wake Ajibu bado ni pasua kichwa hivyo kesho anaamini mipango itakuwa imekamilika.

Ajibu alikuwa anahitajika kujiunga na TP Mazembe aliamua kuzingua kwa kile kilichoelezwa kwamba ni dau dogo na sasa imeelezwa kuwa hana nafasi ndani ya Yanga.

Akizungumza na Salehe Jembe, Ajibu amesema kuwa kwa sasa mambo bado hayajakaa sawa mpaka kesho itafahamika.

“Mimi ninachoamini ni kwamba kambi popote anaweza kutua Simba ama akabaki Yanga. ila ishu ya TP Mazembe hiyo imeshabuma hatakwenda huko, mpaka Juni 30 nitakuwa nimekamilisha utaratibu wa timu yake,” amesema

Imeelezwa kuwa tayari Ajibu amemalizana na Simba na anachosubiri kwa sasa ni kutambulishwa rasmi a
ndani ya kikosi hicho.

NYOTA MPYA KMC AIYEE AKIWASHA HATMA YA AJIBU KUTUA SIMBA KUJULIKANA LEO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply