Uncategorized

NYOTA WA BONGO ATIMKIA KENYA

admin July 5, 2019 5:21 am


NYOTA wa kikosi cha Alliance , Dickson Ambundo amejiunga na klabu ya Gormahia ya Kenya kwa kandarasi ya mwaka mmoja.

Ambundo amejiunga na klabu hiyo kwa mkopo baada ya kumaliza mkataba wake na klabu yake ya Alliance. 

Kwa msimu wa 2019-20 Ambundo alifunga jumla ya mabao 10 ndani ya TPL.

HII NI NOMA SASA! SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA TISA WA MATAIFA SABA IBRAHIM AJIBU ATOA LA MOYONI KWA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply