Uncategorized
AZAM FC V TP MAZEMBE JINO KWA JINO LEO
IDDY Naldo mshambuliaji wa Azam FC dk 28 anairejesha mchezoni timu yake baada ya kusawazisha bao 1-1 bao lililofungwa na Ipammy Giovany dk ya 21.
Kwa sasa ni kipindi cha pili ambapo Azam FC wakiwa ni mabingwa watetezi wa kombe hili ndio wawakilishi pekee wa Tanzania baada ya KMC kuondolewa kwenye hatua za awali wakiwa na pointi nne.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.