Uncategorized

SABABU YA AZAM FC KUKOSA UBINGWA WA KAGAME HII HAPA

admin July 22, 2019 10:37 am


BRUCE Kangwa, beki wa timu ya Azam FC amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kutetea kombe la Kagame ni kushindwa kutumia nafasi walizozipata kwa umakini.

Azam FC ilifungwa bao 1-0 na KCCA kwenye mchezo wa fainali iliyochezwa nchini Rwanda na kuvuliwa ubingwa waliokuwa wanautetea.

Bruce Kangwa amesema:” Tulicheza kwa juhudi ndio maana tumefika hatua ya fainali, kikubwa kilichotuponza ni kutokuwa makini hicho tu ndicho kimetukosesha ubingwa,”.

SAFARI YA MABINGWA WA TPL SIMBA KIMATAIFA INAKWENDA NAMNA HII YANGA KIMATAIFA SAFARI YAO IMEKAA NAMNA HII

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply