Uncategorized

ARSENAL WABISHI KINOMA WAKOMAA NA AUBAMEYANG

admin July 26, 2019 4:51 pm


ARSENAL imesema kuwa haina mpango wa kumuuza nyota wake, Pierre Aubameyang msimu ujao.

Awali ilikuwa inaelezwa kuwa haina mpango wa kumuuza nyota huyo msimu ujao ili kupata mkwanja mrefu wa kuutumia kwenye usajili.

Timu kadhaa ambazo ilikuwa zinatajwa kuiwinda saini ya mchezaji huyo ni pamoja na Real Madrid, Barcelona na Manchester United.

“Auba hauzwi hakuna aliyekuja kwetu akimuhitaji nyota huyo wala nasi hatuna mpango wa kumuuza mshambuliaji huyo,” kilieleza chanzo hicho.

SIMBA MSIMU UJAO MCHEZAJI MMOJA KUCHEZA ZAIDI YA NAFASI MOJA, MIFUMO MPAKA MITATU MATOLA: AKIPATIKANA MDHAMINI MKUU, MSIMU UJAO UTANOGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply