Uncategorized

KOCHA STARS: TUPO TAYARI KUPAMBANA NA KENYA

admin July 26, 2019 3:06 pm

ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania amesema kuwa imani ni kubwa kwa timu ya Taifa ya Tanzania kupata matokeo chanya mbele ya timu ya Kenya kwenye michuano ya Chan.

Tanzania itacheza kesho na Taifa Stars uwanja wa Taifa ikiwa ni mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya Chan.

Akizungumza na Saleh Jembe, Ndayiragije amesema kuwa kikosi kinazidi kuimarika na wachezaji wana morali kubwa ya kufanya vizuri.

“Mpaka sasa tupo sehemu nzuri, tumeanza na kuwajenga wachezaji kisaikolojia na kujenga muunganiko mzuri kwa timu.

“Hautakuwa mchezo mwepesi ila tumejipanga kufanya vizuri hivyo mashabiki muda wao ni sasa kutupa sapoti,” amesema.

DILI LIKIKAMILIKA LUKAKU KUSEPA UNITED MAZIMA MANCHESTER UNITED: ERICK BAILLY ATAREJEA KWENYE UBORA WAKE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply