DAVID Molinga amejiunga na Yanga kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea AC Lega ya Congo.
Nyota huyu ambaye ni mshambuliaji ni pendekezo la Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera ambaye alisema kuwa anakuja kurithi nafasi ya Heritier Makambo aliyetimkia Horoya AC.
Huu unakuwa ni usajili wa usiku kwa Yanga kwani mchezaji huyu alishuka usiku wa kuamkia leo na usajili pia unafungwa leo Julai 31.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.