Home Habari za michezo SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA

SINGIDA FG WAMUANDHIBU FEI TOTO…. SIO POA

Klabu ya Singida Fontaine Gate imewaadhibu vinara wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU FC ya Zanzibar jumla ya magoli 4-1 katika mchezo wa kombe la Mapinduzi uliopigwa katika dimba la Amaan Complex, Zanzibar.

JKU 1-4 Singida FG

⚽ Saleh 61’p

⚽⚽ Elvis Rupia 17’, 47’

⚽ Medie Kagere 80’

⚽ Francis Kazadi 86’

Ikumbukwe kuwa, JKU ndiyo timu iliyomlea Feisal Salum Abdallah tangu akiwa mtoto maarufu kama Fei Toto kabla ya kutua Yanga na kuwa staa kishaa kutimkia Azam FC.

SOMA NA HII  YANGA: WALETENI AL AHLY TUWAONESHE