Home Uncategorized LEO NI ZAMU YA RUVU SHOOTING KUMENYANA NA AZAM FC

LEO NI ZAMU YA RUVU SHOOTING KUMENYANA NA AZAM FC

0

AZAM FC leo inashuka uwanjani kumenyana na kikosi cha Ruvu Shooting.

Mchezo huu wa kujipima nguvu utachezwa uwanja wa Chamazi majira ya saa 10:00 jioni.

Azam FC inaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kushinda mchezo wake wa hivi karibuni dhidi ya Polisi Tanzania kwa bao 1-0.