AZAM FC leo inashuka uwanjani kumenyana na kikosi cha Ruvu Shooting.
Mchezo huu wa kujipima nguvu utachezwa uwanja wa Chamazi majira ya saa 10:00 jioni.
Azam FC inaingia uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kushinda mchezo wake wa hivi karibuni dhidi ya Polisi Tanzania kwa bao 1-0.