Home Uncategorized KIONGOZI SIMBA ATOA TAMKO KALI JUU YA KOCHA YANGA KUZUNGUMZIA UBAGUZI

KIONGOZI SIMBA ATOA TAMKO KALI JUU YA KOCHA YANGA KUZUNGUMZIA UBAGUZI

Kufuatia Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael kueleza alibaguliwa na Mwamuzi, Hance Mabena, katika mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Azam, Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara, ameibuka na kueleza haya yafuatayo.

SOMA NA HII  MBADALA WA KINDOKI HUYU HAPA, ASAINI MIAKA MIWILI JANGWANI