Uncategorized
HII HAPA RATIBA YA MECHI ZA TIMU YA TAIFA YA TANZANIA KWENYE MICHUANO YA CHAN
TIMU ya Taifa ya Tanzania mwezi Aprili itakuwa nchini Cameroon ikishiriki michuano ya CHAN ambayo inawahusu wachezaji wa ndani.
Stars imepangwa kundi D.Ratiba yao ipo namna hii:-
Zambia v Tanzania, Aprili 7 Uwanja wa Limbe saa 11:00 jioni.
Namibia v Tanzania, Aprili 11 saa 2:00 usiku, Uwanja wa Limbe.
Tanzania v Guinea, April 15 saa 2:00 usiku, Uwanja wa Dosala.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.