Uncategorized

SIMBA YAKUBALI UWEZO WA KIUNGO WA YANGA ALIYEWAVURUGA MACHI 8 UWANJA WA TAIFA

admin April 22, 2020 6:35 am

Verified

OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa miongni mwa viungo makini wanafaya kazi kwa ubora ndani ya Uwanja ni pamoja na Feisal Salum ’Toto’ anayekipiga ndani ya Yanga.

Fei Toto atakumbukwa msimu huu walipokutana Machi 8 Uwanja wa Taifa kwa kuwavuruga viugo wa Siba chini ya mwamba wa Lusaka, Clatous Chama.

Mchezo huo Simba ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 lililolpachikwa kimiani na Bernard Morrison.

Manara amesema:”Moja ya kiungo aliyejaaliwa uwezo mkubwa uwanjani, alitabiriwa na Kocha Emmanuel Amunike kufanya makubwa zaidi. Bado hajatupa alichonacho kwa asilimia 100%, labda anahitajika kujua nn kesho yake ijayo,” .

AUBAMEYANG AFURAHIA MAISHA YAKE NDANI YA ARSENAL MESSI AJIFUNGIA NDANI KISA CORONA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply