Uncategorized

VIGEZO VYA NAHODHA STARS VIPO NAMNA HII

admin May 2, 2020 3:43 am
KOCHA Mkuu wa timu

ya Taifa ya Tanzania,  Etienne Ndayiragije amesema miongoni mwa vitu anavyovitazama kabla ya kumpa mchezajikitambaa cha unahodha ni uwezo wake wa kuongeza pamoja na nidhamu.

Ndayiragije amesema anaamini katika mawazo ya kila mmoja jambo linalomfanya awe na maelewano na wachezaji.

“Mimi napenda sana kumteua mchezaji ambaye ataweza kunikumbusha na kunipa ushauri, uwezo wake wa kujituma na kuongeza ni mambo ya msingi bila kusahau nidhamu binafsi,” amesema.

BALAA LA YOHANA MKOMOLA LIPO HIVI MITAMBO INAYOMPA JEURI MGUNDA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply