Uncategorized
VIGEZO VYA NAHODHA STARS VIPO NAMNA HII
KOCHA Mkuu wa timu
ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije amesema miongoni mwa vitu anavyovitazama kabla ya kumpa mchezajikitambaa cha unahodha ni uwezo wake wa kuongeza pamoja na nidhamu.
Ndayiragije amesema anaamini katika mawazo ya kila mmoja jambo linalomfanya awe na maelewano na wachezaji.
“Mimi napenda sana kumteua mchezaji ambaye ataweza kunikumbusha na kunipa ushauri, uwezo wake wa kujituma na kuongeza ni mambo ya msingi bila kusahau nidhamu binafsi,” amesema.

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.