Uncategorized

WATANZANIA WATATU WATWAA UBINGWA HUKO CONGO

admin May 15, 2020 10:11 am


NYOTA watatu kutoka ardhi ya Bongo ambao ni Thomas Ulimwengu, Ramadhani Singano na Eliud Ambokile ni miongoni mwa waliobeba ubingwa na TP Mazembe baada ya timu hiyo kutangazwa Bingwa wa Ligi Kuu ya DR Congo maarufu kama Lina foot.

 TP Mazembe imetangazwa kuwa bingwa kutokana na Shirikisho la Soka DRC kuamua kumaliza Ligi zikiwa zimebaki mechi 7 kwa kila timu kutokana na hofu ya Corona.

Ambokile amesema kuwa kutokana na janga la Corona hakukuwa na shughuli ya kimechezo ambayo ilikuwa inaendelea hata mazoezi walikuwa wanafanya ndani.

“Hakukuwa na jambo la michezo ambalo linaendelea kutokana na janga la Corona hata mazoezi tunafanyia ndani kwani Serikali imezuia mikusanyiko isiyo ya lazima,” amesema.

MTIBWA SUGAR YAZITAKA SIMBA NA YANGA ZIJIPANGE KUINGIA ANGA ZAO SHEVA, KIUNGO MZAWA HIVI NDIVYO ALIVYOZUIA USAJILI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply