Uncategorized
YANGA YAANZA MATIZI LEO SHINYANGA
KIKOSI cha Yanga leo kimeanza mazoezi rasmi ya kujiweka sawa kwa ajili ya kuvaana na Mwadui FC ya Shinyanga.
Miongoni mwa wachezaji waliokuwa mazoezini leo ni pamoja na Patrick Sibomana, mshambuliaji namba mbili wa Yanga.
Yanga inajiandaa kucheza na Mwadui FC, Juni 13 Uwanja wa Kambarage mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Sibomana ametupia mabao matano kati ya 31 na pasi tatu za mabao.
Miongoni mwa wachezaji waliokuwa mazoezini leo ni pamoja na Patrick Sibomana, mshambuliaji namba mbili wa Yanga.
Yanga inajiandaa kucheza na Mwadui FC, Juni 13 Uwanja wa Kambarage mchezo wa Ligi Kuu Bara.
Sibomana ametupia mabao matano kati ya 31 na pasi tatu za mabao.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.