Uncategorized

YANGA YAANZA MATIZI LEO SHINYANGA

admin June 11, 2020 4:47 pm
KIKOSI cha Yanga leo kimeanza mazoezi rasmi ya kujiweka sawa kwa ajili ya kuvaana na Mwadui FC ya Shinyanga.

Miongoni mwa wachezaji waliokuwa mazoezini leo ni pamoja na Patrick Sibomana, mshambuliaji namba mbili wa Yanga.

Yanga inajiandaa kucheza na Mwadui FC, Juni 13 Uwanja wa Kambarage mchezo wa Ligi Kuu Bara. 

Sibomana ametupia mabao matano kati ya 31 na pasi tatu za mabao.

MWAMNYETO AMUIBUKIA KAGERE MO AJIBU MAPIGO YA GSM

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply