Uncategorized
MATOKEO YA MECHI ZA LEO, VPL
Matokeo ya mechi mbili za leo Juni 13 za Ligi Kuu Bara kwenye viwanja viwili tofauti:-
Mwadui FC imekubali kuchapwa bao moja kwa bila na Yanga Uwanja wa Kambarage. Bao limefungwa na Balama Mapinduzi dakika ya sita
Coastal Union iliyo chini ya Kocha Mkuu, Juma Mgunda imelazimisha sare ya kibabe ya kufungana mabao 2-2 na Namungo FC, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.