Uncategorized
BEKI YANGA ‘AJIFUNGA’ MWAKA MMOJA KMC
Andrew Vincent maarufu kama Dante ametambulishwa leo Agosti 18 ndani ya KMC kwa dili la mwaka mmoja kukipiga ndani ya kikosi cha wana Kino.
Beki huyo amesajiliwa akiwa huru baada ya kuachwa na Yanga msimu wa 2019/20.
Kwenye dirisha la usajili nyota huyo amekuwa wa kwanza kutambulishwa ndani ya kikosi hicho.

Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.