Uncategorized

MECHI YA UFUNGUZI WA LIGI KUU BARA KUPIGWA AGOSTI 30

admin August 18, 2020 1:47 pm

 


MABINGWA wa Ligi Kuu Bara Simba kwa msimu wa 2019/20 wanatarajiwa kukutana na washindi wa pili wa Kombe la Shirikisho, Namungo FC, Agosti 30, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha.

Mchezo huo utakuwa ni wa ufunguzi wa Ligi Kuu Bara ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 6.

Namungo itakuwa na hasira za kufungwa mabao 2-1 mbele ya Simba kwenye fainali iliyochezwa Uwanja wa Nelson Mandela huku Simba ikiwa na hesabu za kuanza kukusanya mataji mapema kabisa kabla ya ligi kuanza kuchanganya.
MUANGOLA HUYU AINGIA ANGA ZA YANGA BEKI YANGA ‘AJIFUNGA’ MWAKA MMOJA KMC

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply