Home Uncategorized RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA HII HAPA

RATIBA YA LEO LIGI KUU BARA HII HAPA

0

 LEO Septemba 27 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti namna hii:-


Ruvu Shooting v Biashara United Uwanja wa Uhuru.


Mtibwa Sugar v Yanga, Uwanja wa Jamhuri.

Mwadui V Ihefu, Uwanja wa Mwadui Complex.