Home Uncategorized HARUNA NIYONZIMA WA YANGA APATA AJALI

HARUNA NIYONZIMA WA YANGA APATA AJALI

 


NYOTA wa kikosi cha Yanga, Haruna Niyonzima taarifa zinaeleza kuwa amepata ajali akiwa na mke wake nchini Rwanda wakati gari alilokuwa akiendesha kupata ajali wakati akimkwepa mwendesha baiskel katika eneo la Nyamata, wilaya ya Buswgwra.

Baada ya kumkwepa mwendesha baiskeli huyo alilivaa lori lililokuwa pembeni.


Taarifa zinaeleza alikuwa na mke wake wa pili na hajapata majeraha mchezaji huyo anayeitumikia timu ya Yanga kwa Tanzania pamoja na timu yake ya Taifa ya Rwanda.

SOMA NA HII  SHIBOUB AFICHUA MBINU ZA KUWAMALIZA UD SONGO HARAKA KWA MKAPA, HANA UTANI