Uncategorized

SIMBA MIKONONI MWA WAZIMBABWE KIMATAIFA

admin December 6, 2020 3:47 am


 BAADA ya Simba  kupenya hatua ya awali na kutinga hatua ya mtoano sasa inaingia mikononi wa Wazimbabwe kwenye hatua ya mtoano.


Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck jana Desemba 5 ililazimisha sare ya bila kufungana na Klabu ya Plateau United kutoka Nigeria Uwanja wa Mkapa.


Inapenya hatua ya mtoano kwa kuwa mchezo wa kwanza wa awali wa  Ligi ya Mabingwa uliochezwa Uwanja wa New Jos Nigeria Simba ilishinda bao 1-0 lililopachikwa kimiani na Clatous Chama.


Mchezo wa kwanza unatarajiwa kuchezwa kati ya Desemba 22-23 nchini Zimbabwe Uwanja wa Taifa wa Zimbabwe na ule wa marudio unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa kati ya Januari 5-6.

YANGA: NTIBANZONKIZA ATAFUNGA MABAO MENGI MASHABIKI SIMBA,YANGA WASEPA NA ZAWADI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply