Uncategorized

KIUNGO MSHAMBULIAJI WA SIMBA ALIYEWEKWA KWENYE RADA ZA NAMUNGO ANATIMIZA MIAKA KADHAA

admin December 27, 2020 2:47 pm

 


KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Miraji Athuman ambaye anatajwa kuwekwa kwenye rada za mabosi wa Namungo leo Desemba 27 anatimiza miaka 27 ya kuletwa duniani.


Msimu huu wa 2020/21 mambo yamekuwa magumu kwake kupata namba kikosi cha kwanza tofauti na msimu uliopita ambapo alikuwa na nafasi kikosi cha kwanza.


2019/20 alitupia mabao 7 na kutoa pasi moja ya bao majeraha ya mara kwa mara ni moja ya sababu iliyomtoa kwenye reli. Kwa msimu huu wa 2020/21 hajafanikiwa kutupia ndani ya Ligi Kuu Bara.


Huenda mipango ya Namungo ikijibu ya kumuhitaji nyota huyo kwa mkopo anaweza kuendeleza makali yake kwenye kikosi hicho kinachonolewa na Hemed Morroco.

RASMI KELVIN YONDANI MALI YA POLISI TANZANIA KOCHA YANGA: KAZI BADO MPAKA UBINGWA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply