Zinaongezwa dakika 2
Dakika 45 zimekamilika
Dakika ya 36, Yacouba anachezewa faulo
Dakika ya 35 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Dodoma Jiji
Dakika ya 33 Ambundo
anapaisha ndani ya 18
Dakika ya 27 Gooooal Lamine Moro, asisti Deus Kaseke
Dakika ya 26 Kisinda anachezewa faulo
Dakika ya 24 Kisinda anapeleka mashambulizi kwa Dodoma Jiji
Dakika ya 23 Sarpong anatoa mpira
Dakika ya 22 Kaseke anafanya jaribio linaokolewa na Ambundo
Dakika ya 21 Kibanda anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 20 Kisinda anachezewa faulo inapigwa na Kibwana Shomari
Dakika ya 20 Kisinda anachezewa faulo inapigwa na Kibwana Shomari
Dakika ya 19 Yacouba anacheza faulo
Dakika ya 17 mapumziko kidogo ya kunywa maji
Dakika 14 Mukoko anachezewa faulo
Dakika ya 10 Mwamnyeto anaanua majalo
UWANJA wa Sheikh Amri Abeid
Yanga 0-1 Dodoma Jiji
Dakika ya 4 Seif Karihe