Home Uncategorized VPL:YANGA 1-1 DODOMA JIJI

VPL:YANGA 1-1 DODOMA JIJI

 


Zinaongezwa dakika 2

Dakika 45 zimekamilika 
Dakika ya 36, Yacouba anachezewa faulo 

Dakika ya 35 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Dodoma Jiji 

Dakika ya 33 Ambundo 
anapaisha ndani ya 18
Dakika ya 27 Gooooal Lamine Moro, asisti Deus Kaseke 

Dakika ya 26 Kisinda anachezewa faulo

Dakika ya 24 Kisinda anapeleka mashambulizi kwa Dodoma Jiji 

Dakika ya 23 Sarpong anatoa mpira

Dakika ya 22 Kaseke anafanya jaribio linaokolewa na Ambundo

Dakika ya 21 Kibanda anafanya jaribio linakwenda nje ya lango 
Dakika ya 20 Kisinda anachezewa faulo inapigwa na Kibwana Shomari 

Dakika ya 19 Yacouba anacheza faulo 
Dakika ya 17 mapumziko kidogo ya kunywa maji

Dakika 14 Mukoko anachezewa faulo

Dakika ya 10 Mwamnyeto anaanua majalo

UWANJA wa Sheikh Amri Abeid 

Yanga 0-1 Dodoma Jiji 

Dakika ya 4 Seif Karihe

SOMA NA HII  BABY J AJA NA MKWARA MZITO KWA ATAKAYEMROGA