Home Yanga SC FT:YANGA 1-0 KEN GOLD

FT:YANGA 1-0 KEN GOLD

 


UWANJA wa Uhuru

Kombe la Shirikisho,  hatua ya 32 bora


Yanga 0-1Ken Gold

Dakika 42 Gooooal   Fiston

Dakika ya 40 Yanga wanapata Penalti 

Dakika ya 34 Kaseke anacheza faulo akiwa ndani ya 18 eneo la Ken Gold 

Dakika ya 32 Ken Gold wanapeleka mashambulizi kwa Shikhalo 

Dakika ya 31  Farid Mussa anafanya shambulizi ndani ya Ken Gold ila mpira unamzidi  spidi

Dakika ya 28 Kaseke anaotea 

Dakika ya 23 Fiston anafanya jaribio linaokolewa na kipa wa Ken Gold 

Dakika ya 16, Fei Toto anapaisha shuti lake akiwa nje ya 18

Dakika ya 12 Ken Gold wanakosa nafasi ya wazi ndani ya 18

Dakika ya 10 Nchimbi anakpsa nafasi ya wazi

Dakika 9 Farid Mussa anapiga faulo inaokolewa

Dakika ya 7 Nchimbi anapeleka mashambulizi Kengold anazuiwa

Dakika ya 4 Kengold wanapata faulo ya Kwanza  haileti matunda 

Dakika ya 3 Kengold wanapiga kona

SOMA NA HII  KOCHA YANGA "MNATAKA KUMUONA MORISSON?...MTAMUONA ATAKAPOFUNGA