Home Yanga SC RASMI KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KENGOLD

RASMI KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA KENGOLD


 LEO Februari 27 Yanga itakuwa na kibarua cha kusaka ushindi mbele ya Kengold ya Mbeya ambayo nayo pia inahitaji ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho, Uwanja wa Uhuru saa 10:00 jioni.


Hiki hapa kikosi rasmi cha Yanga kitakachoanza kusaka tiketi ya kutinga hatua ya 16 bora kwa kuwa leo ni hatua ya 32 bora:-

Faroukh Shikalo

Paul Godfrey

Yassin Mustapha

Juma Makapu

Bakari Mwamnyeto

Farid Mussa

Zawadi Mauya

Feisal Salum

Fiston 

Deus Kaseke 

Ditram Nchimbi


Hawa ni wa akiba

Metacha

Adeyum

Lamine

Niyonzima

Carlos

Sarpong

Yacouba Songne

SOMA NA HII  INJINIA HERSI: MANJI AKIJA TU..MMEISHA