Home CAF VIDEO: IBENGE:TUMEKUJA KUCHEZA MPIRA

VIDEO: IBENGE:TUMEKUJA KUCHEZA MPIRA

KOCHA Mkuu wa Klabu ya AS Vita, Florent Ibenge amesema kuwa amekuja Bongo kwa ajili ya kucheza mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Simba. 


Ibenge atakiongoza kikosi chake kesho Aprili kusaka pointi tatu mbele ya Simba Uwanja wa Mkapa, mchezo wa kwanza walipokutana DR Congo, ubao ulisoma AS Vita 0-1 Simba hivyo kesho AS Vita itakuwa inahitaji kulipa kisasi. 

 

SOMA NA HII  MAAFISA CAF KUTEMBELEA UWANJA WA MKAPA KUONA KAMA 'YALIYOMO YAMO AU LAAH'..FAINAL ITAPIGWA...