Yanga SC

EDNA LEMA: HAKUNA MWISHO WA MAFANIKIO, HAKUNA MWISHO WA KUCHUKUA UBINGWA

admin May 16, 2021 5:47 pm

KOCHA wa Yanga Princess, Edna Lema amesema kuwa kushindwa kutwaa ubingwa leo Mei 16 kwao sio jambo baya kwa sababu ni mipango ya Mungu, hivyo kama angepanga waweze kutwaa ubingwa huo wangeuchukua kwa kuwa ni Simba Queens wameuchukua basi wanastahili pongezi.


 Pia amewashukuru mashabiki wa Yanga Princess kwa kusema kuwa wasikate tamaa kwa kuwa hakuna mwisho wa mafanikio.

 

YANGA PRINCESS YAICHAPA MABAO 6-0 ALLIANCE GIRLS VIDEO: ASHA MASAKA MFUNGAJI BORA, AWAOMBA MASHABIKI KUTOKATA TAMAA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply