KUELEKEA mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Yanga unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Mei 8, shabiki wa Yanga na msanii, Baba Levo amesema kuwa anaamini timu yake itashinda na kuweka ahadi kwamba ikiwa itafungwa basi atamwambia bosi wake Diamond amfukuze kazi