Home Simba SC SIMBA: TUNAWATAKA YANGA TUWAFUNGE 4

SIMBA: TUNAWATAKA YANGA TUWAFUNGE 4

BAADA ya mchezo wa Simba na Yanga kughairishwa jana, Mei 8, mashabiki wa Simba wamesema kuwa hawahitaji pointi za mezani ila wanahitaji wacheze na Yanga ili wawachezee pira biriani. 

 

SOMA NA HII  KISA SIMBA 'KUFELI' MSIMU HUU....CHAMA AMTUPIA LAWAMA KOCHA MRAZILI...ADAI YEYE NDIO CHANZO..