Home Simba SC SIMBA: TUTAPATA PENALTI 5 MBELE YA YANGA

SIMBA: TUTAPATA PENALTI 5 MBELE YA YANGA

SHABIKI wa Simba, maarufu kama Simba Ulaya amesema kuwa mchezo wa Kombe la Shirikisho dhidi ya Kagera Sugar wakati wakishinda mabao 2-1 ulikuwa ni mpango wa timu hiyo kupanga kikosi kitakachoanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, Mei 8. 


Ameongeza kuwa wanaweza kupata penalti tano kwenye mchezo huo ambao unazidi kuwa na joto kwa sasa.

 

SOMA NA HII  BAADA YA KUACHIWA KIJITI NA MO DEWJI..'TRY AGAIN' ATOA KAULI YA KWANZA KAMA BOSI MPYA MSIMBAZI