UWANJA wa Jamhuri, Dodoma
JKT Tanzania 0-0 Yanga
Dakika ya 42 Kibwana Shomari anapewa huduma ya Kwanza
Dakika ya 40 Maicon anatoa mpira
Dakika ya 38 Mgandila Shaban anaweka kigingi kwa Yacouba
Dakika ya 30 Gooooal Kisinda
Dakika ya 28 Edward Songo anaonyeshwa kadi ya njano
Dakika ya 26 Yacouba Gooooool
Dakika ya 23 Said Ntibanzokiza anapiga faulo ya pili haileti matunda
Dakika ya 18 Nchimbi anafanya jaribio inagonga mwamba
Dakika ya 17 Yacouba Songne anafanya jaribio linakwenda nje ya lango
Dakika ya 15 Said Ntibanzokiza anapiga faulo haileti matunda
Dakika ya 12, Lyanga anafanya jaribio la Kwanza Mnata anaokoa inakuwa kona
Dakika ya 8 Kigi Makasi anachezewa faulo
Dakika ya 7 Lyanga anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 5 Yacouba anaotea
Dakika ya 4 Mwanyeto anaanua majalo
Dakika ya 3 Yacouba Songne anachezewa faulo
Dakika ya 2 JKT Tanzania wanapiga kona ya kwanza