video
VIDEO: KARIA MGOMBEA PEKEE NAFASI YA URAIS, WENGINE WAPIGWA CHINI MAZIMA
LEO Juni 29, Kamati ya Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kupitia Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi, Benjamini Kalume imetangaza majina ya wagombea ambao wamepita kwenye mchujo wa awali huku kwa upade wa nafasi ya Uraisi ni Wallace Karia amepitishwa peke yake kwa maelezo kuwa amekidhi vigezo na wengine watatu wakipigwa chini mazima.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.