Ligi Kuu

RATIBA YA MECHI ZA LIGI KUU BARA AMBAZO NI VIPORO

admin June 30, 2021 12:47 pm

IKIWA kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara ipo raundi ya pili ya lala salama , kuna mechi tatu ambazo zitachezwa baada ya kupangiwa ratiba upya ambapo ratiba ya awali mambo yalikwenda tofauti.


Viporo hivyo vitatu vipo namna hii:-Simba iliyo nafasi ya kwanza na pointi 73 itamenyana na Yanga iliyo nafasi ya pili na pointi 67 itakuwa Julai 3,2021, Uwanja wa Mkapa, saa 11:00 jioni.


KMC iliyo nafasi ya 6 na pointi 42 itamenyana na Simba iliyo nafasi ya kwanza na pointi 73, Julai 7, Uwanja wa CCM Kirumba.

Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Didier Gomes itamenyana na Coastal Union ya Juma Mgunda, Julai 11, Uwanja wa Mkapa.

YANGA WATAJA SABABU ZA KUCHUKUA UBINGWA WA SIMBA VIDEO: SIMBA YASAJILI WATATU WAPYA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply